KAMATI NNE ZA BUNGE ZAKUTANA KUJADILI MGONGANO WA SHERIA NA KANUNI KATIKA SEKTA YA MALIASILI, ARDHI, MIFUGO NA MADINI, PAMOJA NA MAZINGIRA WEZESHI YA SEKTA YA UTALII NCHINI

Jumuiko la Maliasili Tanzania (TNRF) kwa kushirikiana wadau wake Ujamaa Community Resource Team (UCRT), Tanzania Tour Operators (TATO),  Tanzania Confederation of Tourism (TCT), Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) na Mazingira Network Tanzania (MANET) wamepata fursa ya kukutana na wajumbe zaidi ya 90 kutoka Kamati ya Ardhi, Maliasili na UtaliiNishati na MadiniKilimo, Mifugo na Maji na Kamati ya Sheria Ndogo

Mkutano huu pia ulihudhuriwa Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu anayeshughulikia uwekezaji Mh. Angela Kairuki;Waziri wa madini Mh. Dotto Biteko; Naibu waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Mh Angelina Mabula, Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Costantine Kanyasu, Naibu waziri wa viwanda na biashara. Wengine walikuwa ni Kamishna wa Ardhi,  pamoja ya wataalamu kutoka katika wizara hizi.

Malengo ya mkutano huu ilikuwa kupata mtazamo wa wabunge wajumbe wa kamati mbalimbali zinazogusa moja kwa moja maswala ya rasilimali asili ikiwemo wanyamapori, kujua ukubwa wa tatizo na kukubaliana namna bora ya kushirikiana kwa sekta hizi kutatua maswala ya mwingiliano wa sheria hizi.

Relevance: 

TANZANIA NATURAL RESOURCE FORUM RECEIVED CSO EXCELLENCE AWARD

Tanzania Natural Resource Forum have received recognition award on the impact in engagement with government for social change. The foundation for Civil Society had received 166 nomination of organization that have outstanding in number of specified areas. Through those nominations TNRF is among the organizations that have received recognition on its work.

Relevance: 

SERIKALI IMERIDHIA KUPUNGUZA MIGOGORO YA MATUMIZI YA ARDHI NCHINI KWA KUTOA BAADHI YA MAENEO YA HIFADHI KWA WANANCHI

“Tunamshukuru Raisi wa awamu ya tano, Mheshimiwa J.P.Magufuli, amekuwa ni msumari wa majibu ambayo yataweka wanyama pori wetu maeneo salama zaidi na misitu yetu itasimamiwa kwa mustakabali wa sheria zisizoingiliana” alisema Zakaria Faustin baada ya kusoma taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu tarehe 23 Septemba 2019 kuelezea kufutwa kwa mapori tengefu 12 na hifadhi saba (7).

Relevance: 

TRAINING ON POLICY ANALYSIS AND BEST DIALOGUE

1.jpg

Presentation on policy analysis
Media Folder: 

Tanzania Natural Resource Forum (TNRF) is conducting a two day follow-up training (3rd and 4th September 2019) to strengthen the capacity of 20 Civil Society Organisations (CSOs) and Private Sector Organizations (PSOs) on policy analysis, collaboration with government, tactics for better engagement and communication, presentation and public speaking skills, effectively package of key message and seeking feedback on the impact made through the engagements.

TNRF have been working with government institutions to ensure that national interests are fulfilled and community get access and benefiting from natural resources in their areas. In 2018 TNRF nurtured 25 CSOs and PSOs dealing with wildlife conservation and tourism business on basic skills on how to engage and collaborate with government institutions in their routinely activities.

Useful: 
Relevance: 

Pages

Subscribe to Tanzania Natural Resource Forum (TNRF) RSS