Useful

Information that we think you may find particularly useful

UFAFANUZI WA UPOTOSHWAJI KWA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MGOGORO WA ARDHI YA VIJIJI VYA TARAFA ZA SALE NA LOLIONDO

UTANGULIZI

Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na taarifa za kupotosha kupitia baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo kipindi Maalum kilichoitwa Loliondo Special kilichorushwa Channel Ten tarehe 10 Januari 2015 na kurudiwa tarehe 17 na pia kupitia makala iliyochapishwa kwenye gazeti Gazeti la Jamhuri toleo namba 171 la tarehe 13-19 Januari 2015 yenye kichwa cha habari, “Shirika hili ni hatari kwa usalama wa Taifa” na gazeti la Jamhuri la tarehe 18-24 November 2014 toleo namba 163 lenye kichwa cha habari “Wakenya, NGOS wanavyoivuruga Loliondo”.

Sisi Asasi za Kiraia kwa ujumla wetu baada ya kuchambua na kufuatilia upotashaji huu tuna mambo haya ya kusema: Kwanza tunalaani vitisho na propaganda zote chafu zinazofanywa na OBC, Wizara ya Maliasili na Mbunge wa Ngorongoro dhidi ya ASASI za Kiraia na watetezi wote wa ardhi ya wafugaji loliondo, Pili tunapenda kutoa ufafanuzi wa upotoshaji mkubwa unaofanywa na makundi hayojuu ya mgogoro wa ardhi wa Loliondo, Tatu tunaitaka OBC pamoja na Mbunge kuacha kutumia nguvu nyingi na pesa kuigawa jamii ya Ngorongoro kwa lengo la kutaka kupokonya ardhi yao.

TNRF supported participation of grass-roots forest private sector initiatives and Media representatives during MJUMITA and MCDI Stakeholders’ Annual fora

 

 

TNRF participated in Dialogues related to CBNRM and land/forest-based investment

October 2014 was a ‘dialogue’ month linking the South to South and South to North. TNRF engaged effectively in two important dialogues. The first dialogue was the NORAD/WWF Regional CBNRM Dialogue which took place on the 20th and 21st of October in Lusaka, Zambia. The second dialogue was the Initial South-North Dialogue Regarding Investment in Locally Controlled Forests in Tanzania and Mozambique which took place on the 28th and 29th of October in Helsinki, Finland.

IN THE NEWS: Land use plan vital in solving disputes

Pawaga division authorities in Iringa District have urged the government to conduct land use plan in all the villages to avoid land conflicts between farmers and pastoralists. They also challenged the government to allocate pastoralists to areas with adequate grazing pastures and build water infrastructures in a bid to avoid unnecessary land disputes. Speaking at the community workshop on the state of land based investment and resource conflicts, Mlenge Ward Councilor, Rashid Matimbwa said that many areas designed for pastoralists in different villages have no pastures and water infrastructures. The programme which titled ‘Ardhi Yetu’ is funded by CARE international, coordinated by CARE Tanzania and implemented by Tanzania Natural Resource Forum (TNRF).

Pages

Subscribe to RSS - Useful